Kitabu hiki kina sura saba ambazo zinaangalia sera mabali mbali kuhusu maendeleo vijijini na mchango wake kwenye kupunguza umaskini Tanzania. Kinaanza na sera zilizotungwa na kuetekelezwa kipindi cha Ujamaa na Kujijetegemea. Kina sura nyingine zinazo angalia mchango wa elimu kwenye ufanisi wa kilimo;mradi wa matrekta madogo aina ya ‘power tillers’ kwenye baadhi ya wilaya; awamu tatu za sera za ruzuku za pembejeo kwa wakulima wadogo; na kilimo cha tumbaku na hatima yake kutokana na mabadiliko kwenye soko na sera za kimataifa kuhusu zao hilo. Pia kuna sura moja inayolinganisha mbinu za ukuzaji mnyororo wa thamani kwenye zao la korosho nchini Tanzania na Vietnam na nyingine ambayo inagusia mambo muhimu ya kufanikisha ushirikiano kati ya taasisi za kiserikali na asisi zisizo za kiserikali katika kutekeleza na kufanikisha sera za kilimo nchini Tanzania.
Related Articles
Enhancing Competitiveness of Rice Industry in Tanzania
This policy brief assesses rice production and consumption in Tanzania, the cultivated area of rice and yields obtained. It also presents the market dynamics of the rice sub-sector by assessing its exports, imports as well as its prices in the domestic and international market. Lastly, it presents challenges hindering trade competitiveness and provides policy recommendations […]
Learning Environment and Performance
of Primary Education in Tanzania
This policy brief aims at assessing learning outcomes by looking at inputs, commitments and competencies of service providers in the education and health sectors. The survey was conducted in two rounds in 2014 and 2016/17. The two surveys had been preceded by a pilot conducted in 2010 in Tanzania and Senegal, which allows Tanzania to […]
Improving the provision of government einformation opportunities in Tanzania
The Internet has the potential to improve public administration, servicedelivery, and citizen engagement (Castells, 2009; Chadwick, 2006,2013). In the early 2000s, the Tanzania government adopted onlinegovernment information provision and established the technicalstandards and guidelines for government websites in 2014 (UnitedRepublic of Tanzania, 2014). E-information stands for provision ofinformation via government websites and social media pages. […]
Enhancing Competitiveness in the Leather Industry in Tanzania
This policy brief assesses trade development and competitiveness of the leather value chain in Tanzania, focusing on market competitiveness and production capacity. It also assesses the challenges hindering the trade competitiveness of the leather industry and provides recommendations on how to boost the trade competitiveness of the leather sector given that Tanzania has a significant […]