Historia ya sera nchini Tanzania imekuwa ni ya mabadiliko ya mara kwa mara ambayo lengo lake limekuwa ni kuongeza ufanisi na uzalishaji katika sekta muhimu za uchumi. Dokezo hili linatoa muhtasari wa kitabu kilichotokana na utafiti uliochunguza uwezo wa mabadiliko mbali mbali ya sera kuiongezea sekta ya kilimo, hususan wakulima wadogo, nguvu ya ushindani katika masoko mbali mbali ndani na nje ya Tanzania. Ushahidi utokanao na utafiti huu unaonyesha kwamba baadhi ya sera za kilimo zilizotungwa na kutekelezwa mara tu baada ya uhuru zilichangia kuzorotesha uzalishaji wa mazao ya biashara. Unaonyesha pia kwamba sera zilizolenga marekebisho ya kimuundo maarufu kama ‘structural adjustment’ na utandawazi hazikufanikiwa sana kuongeza uzalishaji kwenye kilimo kama ilivyotarajiwa. Kutokana na hilo hoja kubwa ni kwamba ili kuviondoa vikwazo hasi vya kisera kwenye mfumo wa soko vinavyopunguza ufanisi kwenye sekta ya wakulima wadogo, ni vizuri kutumia taratibu na mifumo ya kimasoko na isiyo ya kimasoko kwa uratibu mzuri wa pamoja.
Related Articles
Unlocking Tanzania’s potential: Youth look to jobs, entrepreneurial opportunities
On their top priorities for government action – including health, water supply, infrastructure/roads, electricity, education, and job creation – young citizens give the government positive performance reviews, and a majority see the country as moving in “the right direction.” But their assessments of economic and living conditions are less positive, and economic opportunity tops of […]
Tanzanians applaud government performance on health, but it remains their top concern
This dispatch/ policy brief presents findings from a special Afrobarometer Round 10 survey module focusing on health care. READ ON by clicking the Download.PDF button…!
Why property tax reforms fail: Lessons from Tanzania
Over the past two decades, property tax administration in Tanzania has undergone substantial changes, shifting between decentralized and centralized collection models. However, despite numerous reform initiatives, these efforts have largely failed to boost tax revenues and improve property tax administration. This CMI (in collaboration with REPOA) Insight outlines five reasons why these reforms have not […]
Strengthening Decentralisation and Local Economic Development in Tanzania: Challenges and Opportunities
The research on decentralisation and Local Economic Development (LED) in Tanzania reveals several key challenges and opportunities. One major challenge is the inconsistency between decentralisation goals and actual implementation, where local government authorities (LGAs) often prioritize service delivery over economic development initiatives. The lack of adequate funding, inadequate capacity among local officials, and insufficient coordination […]