Historia ya sera nchini Tanzania imekuwa ni ya mabadiliko ya mara kwa mara ambayo lengo lake limekuwa ni kuongeza ufanisi na uzalishaji katika sekta muhimu za uchumi. Dokezo hili linatoa muhtasari wa kitabu kilichotokana na utafiti uliochunguza uwezo wa mabadiliko mbali mbali ya sera kuiongezea sekta ya kilimo, hususan wakulima wadogo, nguvu ya ushindani katika masoko mbali mbali ndani na nje ya Tanzania. Ushahidi utokanao na utafiti huu unaonyesha kwamba baadhi ya sera za kilimo zilizotungwa na kutekelezwa mara tu baada ya uhuru zilichangia kuzorotesha uzalishaji wa mazao ya biashara. Unaonyesha pia kwamba sera zilizolenga marekebisho ya kimuundo maarufu kama ‘structural adjustment’ na utandawazi hazikufanikiwa sana kuongeza uzalishaji kwenye kilimo kama ilivyotarajiwa. Kutokana na hilo hoja kubwa ni kwamba ili kuviondoa vikwazo hasi vya kisera kwenye mfumo wa soko vinavyopunguza ufanisi kwenye sekta ya wakulima wadogo, ni vizuri kutumia taratibu na mifumo ya kimasoko na isiyo ya kimasoko kwa uratibu mzuri wa pamoja.
Related Articles
Enhancing Competitiveness of Rice Industry in Tanzania
This policy brief assesses rice production and consumption in Tanzania, the cultivated area of rice and yields obtained. It also presents the market dynamics of the rice sub-sector by assessing its exports, imports as well as its prices in the domestic and international market. Lastly, it presents challenges hindering trade competitiveness and provides policy recommendations […]
Learning Environment and Performance
of Primary Education in Tanzania
This policy brief aims at assessing learning outcomes by looking at inputs, commitments and competencies of service providers in the education and health sectors. The survey was conducted in two rounds in 2014 and 2016/17. The two surveys had been preceded by a pilot conducted in 2010 in Tanzania and Senegal, which allows Tanzania to […]
Improving the provision of government einformation opportunities in Tanzania
The Internet has the potential to improve public administration, servicedelivery, and citizen engagement (Castells, 2009; Chadwick, 2006,2013). In the early 2000s, the Tanzania government adopted onlinegovernment information provision and established the technicalstandards and guidelines for government websites in 2014 (UnitedRepublic of Tanzania, 2014). E-information stands for provision ofinformation via government websites and social media pages. […]
Enhancing Competitiveness in the Leather Industry in Tanzania
This policy brief assesses trade development and competitiveness of the leather value chain in Tanzania, focusing on market competitiveness and production capacity. It also assesses the challenges hindering the trade competitiveness of the leather industry and provides recommendations on how to boost the trade competitiveness of the leather sector given that Tanzania has a significant […]