Chapisho hili limeandaliwa na REPOA kama sehemu ya ushirikiano na Mahakama ya Tanzania. Mahakama imewahusisha REPOA kama Taasisi huru ili kupima jinsi wananchi wanavyoridhishwa na utoaji wa huduma za Mahakama. Zoezi hili lililenga kutoa mrejesho wa huduma zinazotolewa na Mahakama ikilinganiswa na matarajio ya watumiaji na watumishi tangu utafiti wa awali ulipofanyika mwaka 2015 hadi sasa. Hii itaongeza uelewa kwa Mahakama kuhusu matokeo ya jitihada zake wakati wa utekelezaji wa Mipango-Mkakati miwili ya kuboresha huduma mbalimbali zinazotolewa na Mahakama.
Tafadhali bonyeza kitufe kilichoandikwa “Download .PDF” ili kupakua/ kuendelea kusoma ripoti hii…
Related Articles
Workshop Report: 28th Annual Research Workshop – 2024 “Pursuit for Sustained Growth and Trade Expansion”
REPOA’s Annual Research Workshop (ARW) continues to be the longest running and largest research workshop held in Tanzania by a Tanzanian organisation, where researchers, research users, and development stakeholders meet to discuss research findings, their associated implications for development policy in Tanzania and propose areas of further strategic research. The 28th REPOA’s ARW was conducted […]
Factors influencing Online Citizen Engagement at the Local Level in Tanzania
The adoption of e-participation adoption is found to be conditioned by the Information and Communication Technology (ICT) environment, government norms, ICT literacy and cost, and awareness among citizens and LLG leaders. The research implies that DOI power will increase when innovation testing is also included in the redesigning/ restructuring stage of the organisation’s innovation-decision process. […]
Democratisation in Tanzania: Re-examining citizens’ preferences for political party systems after 1992
The findings suggest an evolution of popular views on multipartism over time in contrast to reservations expressed to Justice Nyalali’s Commission in 1991. It is possible that, over time, many citizens have grown to prefer pluralism to a single party system because the speculated violence and societal division have not occurred. Also, they trust both […]
Motorcycle taxi riding and crimes in the urban settings of Dar es Salaam and Pwani Regions – Tanzania
The study reveals differences in crimes between regions. Findings further reveal that, while different initiatives are used to cope with crimes by both riders and their customers, sometimes motorcycle riders have brutally assaulted people they suspect to be criminals, even without any proof, which escalates the problem. As for customers in Dar es Salaam, the […]