Kitabu hiki kina sura saba ambazo zinaangalia sera mabali mbali kuhusu maendeleo vijijini na mchango wake kwenye kupunguza umaskini Tanzania. Kinaanza na sera zilizotungwa na kuetekelezwa kipindi cha Ujamaa na Kujijetegemea. Kina sura nyingine zinazo angalia mchango wa elimu kwenye ufanisi wa kilimo;mradi wa matrekta madogo aina ya ‘power tillers’ kwenye baadhi ya wilaya; awamu tatu za sera za ruzuku za pembejeo kwa wakulima wadogo; na kilimo cha tumbaku na hatima yake kutokana na mabadiliko kwenye soko na sera za kimataifa kuhusu zao hilo. Pia kuna sura moja inayolinganisha mbinu za ukuzaji mnyororo wa thamani kwenye zao la korosho nchini Tanzania na Vietnam na nyingine ambayo inagusia mambo muhimu ya kufanikisha ushirikiano kati ya taasisi za kiserikali na asisi zisizo za kiserikali katika kutekeleza na kufanikisha sera za kilimo nchini Tanzania.
Related Articles
Unlocking Tanzania’s potential: Youth look to jobs, entrepreneurial opportunities
On their top priorities for government action – including health, water supply, infrastructure/roads, electricity, education, and job creation – young citizens give the government positive performance reviews, and a majority see the country as moving in “the right direction.” But their assessments of economic and living conditions are less positive, and economic opportunity tops of […]
Tanzanians applaud government performance on health, but it remains their top concern
This dispatch/ policy brief presents findings from a special Afrobarometer Round 10 survey module focusing on health care. READ ON by clicking the Download.PDF button…!
Why property tax reforms fail: Lessons from Tanzania
Over the past two decades, property tax administration in Tanzania has undergone substantial changes, shifting between decentralized and centralized collection models. However, despite numerous reform initiatives, these efforts have largely failed to boost tax revenues and improve property tax administration. This CMI (in collaboration with REPOA) Insight outlines five reasons why these reforms have not […]
Strengthening Decentralisation and Local Economic Development in Tanzania: Challenges and Opportunities
The research on decentralisation and Local Economic Development (LED) in Tanzania reveals several key challenges and opportunities. One major challenge is the inconsistency between decentralisation goals and actual implementation, where local government authorities (LGAs) often prioritize service delivery over economic development initiatives. The lack of adequate funding, inadequate capacity among local officials, and insufficient coordination […]