Muhtasari huu unatoa taswira fupi ya tathmini ya mchango wa ushirikishwaji wa wananchi katika mifumo badilifu ya utoaji wa huduma za maji safi na maji taka (WATSAN) nchini Tanzania. Tathmini hii imefanyika katika wakati muafaka ambapo pamoja na kuwa na zaidi ya muongo mmoja wa utekelezaji wa maboresho ya sera ya maji, machache yanafahamika kuhusu: Mosi, namna ambavyo wananchi wanashiriki kwenye michakato ya utengenezaji na utekelezaji wa maboresho ya huduma; na Pili: mchango ambao jamii unatoa kwenye utoaji wa huduma husika. Taswira hii inatokana na kitabu kilichojikita kwenye uchunguzi wa kina wa huduma za Maji Safi na Maji Taka uliofanyika katika kata ya Kawe, manispaa ya Kinondoni, nchini Tanzania. Utafiti ulitumia fasihi na maandishi mbali mbali kuhusu maboresho ya utumishi wa umma, ushirikishaji wa wananchi na nadharia ya kihistoria ya mfumo wa kitaasisi, katika kuwasilisha na kuchambua kwa kina utekelezaji wa dhana na sera ya ushirikishwaji wa wananchi, mahusiano kati ya watendaji wa kitaasisi na wananchi kwenye utengenezaji na utekelezaji wa maboresho ya sera utoaji wa huduma za maji safi na maji taka katika eneo la tafiti husika.
Related Articles
Enhancing Competitiveness of Rice Industry in Tanzania
This policy brief assesses rice production and consumption in Tanzania, the cultivated area of rice and yields obtained. It also presents the market dynamics of the rice sub-sector by assessing its exports, imports as well as its prices in the domestic and international market. Lastly, it presents challenges hindering trade competitiveness and provides policy recommendations […]
Learning Environment and Performance
of Primary Education in Tanzania
This policy brief aims at assessing learning outcomes by looking at inputs, commitments and competencies of service providers in the education and health sectors. The survey was conducted in two rounds in 2014 and 2016/17. The two surveys had been preceded by a pilot conducted in 2010 in Tanzania and Senegal, which allows Tanzania to […]
Improving the provision of government einformation opportunities in Tanzania
The Internet has the potential to improve public administration, servicedelivery, and citizen engagement (Castells, 2009; Chadwick, 2006,2013). In the early 2000s, the Tanzania government adopted onlinegovernment information provision and established the technicalstandards and guidelines for government websites in 2014 (UnitedRepublic of Tanzania, 2014). E-information stands for provision ofinformation via government websites and social media pages. […]
Enhancing Competitiveness in the Leather Industry in Tanzania
This policy brief assesses trade development and competitiveness of the leather value chain in Tanzania, focusing on market competitiveness and production capacity. It also assesses the challenges hindering the trade competitiveness of the leather industry and provides recommendations on how to boost the trade competitiveness of the leather sector given that Tanzania has a significant […]