Chapisho hili limeandaliwa na REPOA kama sehemu ya ushirikiano na Mahakama ya Tanzania. Mahakama imewahusisha REPOA kama Taasisi huru ili kupima jinsi wananchi wanavyoridhishwa na utoaji wa huduma za Mahakama. Zoezi hili lililenga kutoa mrejesho wa huduma zinazotolewa na Mahakama ikilinganiswa na matarajio ya watumiaji na watumishi tangu utafiti wa awali ulipofanyika mwaka 2015 hadi sasa. Hii itaongeza uelewa kwa Mahakama kuhusu matokeo ya jitihada zake wakati wa utekelezaji wa Mipango-Mkakati miwili ya kuboresha huduma mbalimbali zinazotolewa na Mahakama.
Tafadhali bonyeza kitufe kilichoandikwa “Download .PDF” ili kupakua/ kuendelea kusoma ripoti hii…
Related Articles
Taxation and Business Development in Zanzibar: Insights from a Business Survey
The private sector is a critical driver of economic growth in Tanzania. The government has expressed a strong commitment to fostering a vibrant business environment while ensuring sufficient public resources for economic development. However, balancing taxation and business growth remains a challenge. This report presents findings from a survey of businesspeople in Zanzibar, examining their […]
Enhancing Food Security among Smallholders through Climate-Smart Agriculture in Tanzanian Arid Regions
Climate-smart agriculture (CSA) has been proposed as an approach to mitigate some of the threats emanating from climatic changes and guide agriculture management in the era of climate change. This study aimed to (a) assess the CSA practices and technologies and their impacts on household food security among smallholders in Tanzania’s arid and semi-arid agroecological […]
Assessing Small – Scale Fisher’s Use of Traditional Knowledge for Climate Adaptation in Southern Coastal Areas
The study aimed to assess small-scale fishers’ use of traditional knowledge for climate adaptation in Lindi and Mtwara regions located in the Southern Coastal areas of Tanzania. The study used a qualitative research approach wherein in-depth interviews, focus group discussions and observation were used to collect data. Climate change affects fishing activities since rainfall is […]
Evaluating Indigenous Knowledge in Reducing Tomato PHL in Morogoro Region: Case Studies from Mvomero and Morogoro Districts
Tomatoes are one of the most widely consumed vegetables in sub-Saharan Africa, valued for their essential vitamins and minerals. This study assessed the effectiveness of Indigenous Handling Practices (IHP) in reducing post-harvest losses (PHL) in the tomato subsector. Specifically, it examined indigenous handling methods, growers’ perceptions, and factors influencing the adoption of these practices. READ […]